Skip to content
Matendo 5:1-3

Matendo 5:1-3

1
Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.
2
Huku mkewe akijua kikamilifu, Anania alificha sehemu ya fedha alizopata, akaleta kiasi kilichobaki na kukiweka miguuni pa mitume.
3
Petro akamuuliza, “Anania, mbona Shetani ameujaza moyo wako ili kumwambia uongo Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata kutokana na kiwanja?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options