Skip to content
Matendo 5:1-2

Matendo 5:1-2

1
Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.
2
Huku mkewe akijua kikamilifu, Anania alificha sehemu ya fedha alizopata, akaleta kiasi kilichobaki na kukiweka miguuni pa mitume.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options