Skip to content
Matendo 4:1-2

Matendo 4:1-2

1
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wakisema na watu, makuhani, mkuu wa walinzi wa Hekalu na Masadukayo wakawajia,
2
huku wakiwa wamekasirika sana kwa sababu mitume walikuwa wanawafundisha watu na kuhubiri kwamba kuna ufufuo wa wafu ndani ya Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options