Skip to content
Matendo 3:9-10

Matendo 3:9-10

9
Watu wote walipomwona akitembea na kumsifu Mungu,
10
wakamtambua kuwa ni yule mtu aliyekuwa akiketi nje ya Hekalu penye lango liitwalo Zuri akiomba msaada, nao wakajawa na mshangao, wakastaajabu juu ya yale yaliyomtukia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options