Skip to content
Matendo 28:8-9

Matendo 28:8-9

8
Baba yake Publio alikuwa mgonjwa kitandani, akiwa anaumwa homa na kuhara damu. Paulo akaingia ndani ili kumwona na baada ya maombi, akaweka mikono juu yake na kumponya.
9
Jambo hili lilipotukia, watu wote wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options