Skip to content
Matendo 26:31-32

Matendo 26:31-32

31
Walipokuwa wakiondoka, wakaambiana, “Mtu huyu hafanyi jambo lolote linalostahili kufa au kufungwa.”
32
Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options