Skip to content
Matendo 26:30-31

Matendo 26:30-31

30
Baada ya kusema hayo, mfalme akainuka pamoja na mtawala na Bernike na wale waliokuwa wameketi pamoja nao.
31
Walipokuwa wakiondoka, wakaambiana, “Mtu huyu hafanyi jambo lolote linalostahili kufa au kufungwa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options