Skip to content
Matendo 25:4-5

Matendo 25:4-5

4
Festo akawajibu, “Paulo amezuiliwa huko Kaisaria, nami mwenyewe ninakwenda huko hivi karibuni.
5
Baadhi ya viongozi wenu wafuatane nami na kutoa mashtaka dhidi ya mtu huyo huko, kama amekosa jambo lolote.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options