Skip to content
Matendo 2:34-36

Matendo 2:34-36

34
Kwa kuwa Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, “ ‘Bwana alimwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume,
35
hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.” ’
36
“Kwa hiyo Israeli wote na wajue jambo hili kwa uhakika kwamba: Mungu amemfanya huyu Yesu, ambaye ninyi mlimsulubisha, kuwa Bwana na Kristo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options