Skip to content
Matendo 2:25-28

Matendo 2:25-28

25
Kwa maana Daudi asema kumhusu yeye: “ ‘Nalimwona Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
26
Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika kwa tumaini.
27
Kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.
28
Umenionyesha njia za uzima, utanijaza na furaha mbele zako.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options