Skip to content
Matendo 19:30-31

Matendo 19:30-31

30
Paulo akataka kuingia katikati ya umati huo, lakini wanafunzi hawakumruhusu.
31
Hata baadhi ya viongozi wa sehemu ile, waliokuwa rafiki zake Paulo, wakatuma watu wakitamani asiingie katika ule ukumbi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options