Skip to content
Matendo 17:6-8

Matendo 17:6-8

6
Lakini walipowakosa wakamburuta Yasoni na ndugu wengine mbele ya maafisa wa mji, wakipiga kelele: “Watu hawa ni wale walioupindua ulimwengu wamekuja huku,
7
naye Yasoni amewakaribisha nyumbani mwake. Hawa wote wanaasi amri za Kaisari wakisema yuko mfalme mwingine aitwaye Yesu.”
8
Waliposikia haya, ule umati wa watu na maafisa wa mji wakaongeza ghasia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options