Skip to content
Matendo 16:23-24

Matendo 16:23-24

23
Baada ya kuwachapa sana, wakawatupa gerezani na kumwagiza mkuu wa gereza awalinde kikamilifu.
24
Kufuata maelekezo haya, yule mkuu wa gereza akawaweka katika chumba cha ndani sana mle gerezani, na akawafunga miguu yao kwa minyororo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options