Matendo 16:1-2
1
Paulo akafika Derbe na kisha Listra, ambako kulikuwa na mwanafunzi mmoja jina lake Timotheo, ambaye mama yake alikuwa Myahudi aliyeamini, lakini baba yake alikuwa Myunani.
2
Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio