Skip to content
Matendo 16:1-2

Matendo 16:1-2

1
Paulo akafika Derbe na kisha Listra, ambako kulikuwa na mwanafunzi mmoja jina lake Timotheo, ambaye mama yake alikuwa Myahudi aliyeamini, lakini baba yake alikuwa Myunani.
2
Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options