Skip to content
Matendo 13:35-37

Matendo 13:35-37

35
Kama ilivyosemwa mahali pengine katika Zaburi, “ ‘Hutamwacha Aliye Mtakatifu wako kuona uharibifu.’
36
“Kwa maana Daudi akiisha kulitumikia kusudi la Mungu katika kizazi chake, alilala; akazikwa pamoja na baba zake na mwili wake ukaoza.
37
Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu hakuona uharibifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options