Skip to content
Matendo 12:15-16

Matendo 12:15-16

15
Wakamwambia yule mtumishi wa kike, “Umerukwa na akili.” Alipozidi kusisitiza kuwa ni kweli, wakasema, “Lazima awe ni malaika wake.”
16
Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options