Matendo 10:13-15
13
Ndipo sauti ikamwambia “Petro, ondoka, uchinje na ule.”
14
Petro akajibu, “La hasha Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.”
15
Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”