Skip to content
Matendo 10:1-2

Matendo 10:1-2

1
Katika mji wa Kaisaria palikuwa na mtu jina lake Kornelio, ambaye alikuwa jemadari wa kile kilichojulikana kama kikosi cha Kiitalia.
2
Yeye alikuwa mcha Mungu pamoja na wote wa nyumbani mwake. Aliwapa watu sadaka nyingi na kumwomba Mungu daima.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options