Skip to content
2 Timotheo 1:13-14

2 Timotheo 1:13-14

13
Shika kwa uthabiti kielelezo cha mafundisho yenye uzima yale uliyoyasikia kwangu, pamoja na imani na upendo katika Kristo Yesu.
14
Ilinde ile amana uliyokabidhiwa kwa Roho Mtakatifu akaaye ndani yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options