Skip to content
2 Wathesalonike 3:14-15

2 Wathesalonike 3:14-15

14
Ikiwa mtu yeyote hayatii maagizo yetu yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu huyo. Msishirikiane naye, ili apate kuona aibu.
15
Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options