2 Wathesalonike 2:10-12
10
na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa.
11
Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo,
12
na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.