Skip to content
2 Samweli 8:7-8

2 Samweli 8:7-8

7
Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.
8
Kutoka miji ya Beta na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options