2 Samweli 5:17-18
17
Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akateremka kwenye ngome.
18
Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,