Skip to content
2 Samweli 3:36-37

2 Samweli 3:36-37

36
Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza.
37
Kwa hiyo siku ile watu wote na Israeli yote wakajua kwamba mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri mwana wa Neri.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options