Skip to content
2 Samweli 3:33-34

2 Samweli 3:33-34

33
Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
34
Mikono yako haikufungwa, miguu yako haikufungwa pingu. Ulianguka kama yeye aangukaye mbele ya watu waovu.” Nao watu wote wakamlilia tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options