Skip to content
2 Samweli 3:32-33

2 Samweli 3:32-33

32
Wakamzika Abneri huko Hebroni, naye mfalme akalia kwa sauti kwenye kaburi la Abneri. Pia watu wote wakalia.
33
Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options