2 Petro 3:6-7
6
Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.
7
Lakini kwa neno lilo hilo, mbingu za sasa na dunia zimewekwa akiba kwa ajili ya moto, zikihifadhiwa hadi siku ile ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomcha Mungu.