Skip to content
2 Wafalme 5:4-5

2 Wafalme 5:4-5

4
Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.
5
Mfalme wa Aramu akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu, na mivao kumi ya mavazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options