2 Wafalme 5:4-5
4
Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.
5
Mfalme wa Aramu akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu, na mivao kumi ya mavazi.