2 Wafalme 3:17-18
17
Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Bwana: Hamtaona upepo wala mvua, lakini bonde hili litajaa maji, nanyi pamoja na ngʼombe wenu na wanyama wenu wengine mtakunywa.
18
Hili ni jambo rahisi machoni pa Bwana. Pia ataitia Moabu mikononi mwenu.