Skip to content
2 Wafalme 25:6-7

2 Wafalme 25:6-7

6
naye akakamatwa. Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, mahali ambapo hukumu yake ilitangazwa.
7
Wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Kisha wakayangʼoa macho yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options