Skip to content
2 Wafalme 25:5-6

2 Wafalme 25:5-6

5
Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia mfalme na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,
6
naye akakamatwa. Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, mahali ambapo hukumu yake ilitangazwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options