2 Wafalme 24:8-9
8
Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani kutoka Yerusalemu.
9
Akafanya maovu machoni pa Bwana, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.