Skip to content
2 Wafalme 22:9-11

2 Wafalme 22:9-11

9
Kisha Shafani mwandishi akamwendea mfalme na kumpa taarifa akisema: “Maafisa wako wametoa ile fedha ambayo ilikuwa ndani ya Hekalu la Bwana na imekabidhiwa mikononi mwa wasimamizi wa marekebisho ya Hekalu.”
10
Ndipo Shafani mwandishi akampasha mfalme habari kwamba: “Hilkia kuhani amenipa kitabu hiki.” Naye Shafani akakisoma kile kitabu mbele ya mfalme.
11
Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Sheria, akararua mavazi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options