2 Wafalme 21:20-22
20
Akatenda maovu machoni mwa Bwana, kama baba yake Manase alivyofanya.
21
Akaenenda katika njia zote za baba yake, akaabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu na kuzisujudia.
22
Akamwacha Bwana, Mungu wa baba zake, wala hakuenenda katika njia za Bwana.