Skip to content
2 Wafalme 14:3-4

2 Wafalme 14:3-4

3
Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, lakini sio kama Daudi baba yake alivyokuwa amefanya. Katika kila kitu alifuata mfano wa Yoashi baba yake.
4
Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options