تخطَّ إلى المحتوى
2 Wakorintho 7:6-7

2 Wakorintho 7:6-7

6
Bali Mungu, yeye awafarijie wenye huzuni, alitufariji kwa kufika kwake Tito.
7
Lakini si kule kuja kwa Tito tu, bali pia kwa faraja mliyompa. Alitueleza jinsi mlivyonionea shauku, huzuni yenu kubwa na juhudi yenu kwa ajili yangu, ili kwamba furaha yangu ipate kuwa kubwa kuliko wakati wowote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options