Skip to content
2 Wakorintho 7:5-6

2 Wakorintho 7:5-6

5
Kwa maana hata tulipoingia Makedonia, miili yetu haikuwa na raha. Tulisumbuliwa kila upande, kwa nje kulikuwa na mapigano na mioyoni mwetu tulikuwa na hofu.
6
Bali Mungu, yeye awafarijie wenye huzuni, alitufariji kwa kufika kwake Tito.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options