2 Wakorintho 7:5-6
5
Kwa maana hata tulipoingia Makedonia, miili yetu haikuwa na raha. Tulisumbuliwa kila upande, kwa nje kulikuwa na mapigano na mioyoni mwetu tulikuwa na hofu.
6
Bali Mungu, yeye awafarijie wenye huzuni, alitufariji kwa kufika kwake Tito.