Skip to content
2 Wakorintho 4:8-10

2 Wakorintho 4:8-10

8
Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
9
twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
10
Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options