2 Wakorintho 4:8-10
8
Twataabika kila upande lakini hatuangamizwi; twaona wasiwasi lakini hatukati tamaa;
9
twateswa lakini hatuachwi; twatupwa chini lakini hatupondwi.
10
Siku zote twachukua katika mwili kufa kwake Yesu ili kwamba uzima wa Yesu uweze kudhihirika katika miili yetu.