Skip to content
2 Wakorintho 4:3-4

2 Wakorintho 4:3-4

3
Hata nayo Injili yetu kama imetiwa utaji, ni kwa wale tu wanaopotea.
4
Kwa habari yao, mungu wa dunia hii amepofusha akili za wasioamini, ili wasione nuru ya Injili ya utukufu wa Kristo, aliye sura ya Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options