Skip to content
2 Wakorintho 3:5-6

2 Wakorintho 3:5-6

5
Si kwamba sisi tunafikiri kuwa tunaweza kufanya jambo lolote wenyewe, lakini nguvu yetu inatoka kwa Mungu.
6
Ndiye alituwezesha sisi kuwa wahudumu wa Agano Jipya: si wa andiko, bali wa Roho; kwa kuwa andiko huua bali Roho hutia uzima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options