Skip to content
2 Wakorintho 3:17-18

2 Wakorintho 3:17-18

17
Basi Bwana ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana hapo pana uhuru.
18
Nasi sote, tukiwa na nyuso zisizotiwa utaji tunadhihirisha utukufu wa Bwana, kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa Bwana, ambaye ndiye Roho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options