Skip to content
2 Wakorintho 11:5-6

2 Wakorintho 11:5-6

5
Lakini sidhani ya kuwa mimi ni dhalili sana kuliko hao “mitume wakuu.”
6
Inawezekana mimi nikawa si mnenaji hodari, lakini ni hodari katika elimu. Jambo hili tumelifanya liwe dhahiri kwenu kwa njia zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options