Skip to content
2 Wakorintho 11:5-6

2 Wakorintho 11:5-6

5
Lakini sidhani ya kuwa mimi ni dhalili sana kuliko hao “mitume wakuu.”
6
Inawezekana mimi nikawa si mnenaji hodari, lakini ni hodari katika elimu. Jambo hili tumelifanya liwe dhahiri kwenu kwa njia zote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options