Skip to content
2 Nyakati 7:1-2

2 Nyakati 7:1-2

1
Baada ya Solomoni kumaliza kuomba, moto ukashuka kutoka mbinguni na kuteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, nao utukufu wa Bwana ukalijaza Hekalu.
2
Makuhani hawakuweza kuingia ndani ya Hekalu la Bwana kwa sababu utukufu wa Bwana ulilijaza.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options