Skip to content
2 Nyakati 35:10-11

2 Nyakati 35:10-11

10
Huduma ilipomalizika kuandaliwa makuhani wakasimama mahali pao na Walawi katika migawanyo yao kama mfalme alivyokuwa ameamuru.
11
Wana-kondoo wa Pasaka wakachinjwa, nao makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa, wakati Walawi wakiwa wanawachuna wale wanyama ngozi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options