Skip to content
2 Nyakati 31:7-8

2 Nyakati 31:7-8

7
Wakaanza kufanya haya katika mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa saba.
8
Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu Bwana na kuwabariki watu wake Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options