Skip to content
2 Nyakati 30:10-11

2 Nyakati 30:10-11

10
Matarishi wakaenda mji hadi mji katika Efraimu na Manase, wakafika mpaka Zabuloni, lakini watu wakawadharau na kuwadhihaki.
11
Lakini, baadhi ya watu wa Asheri, Manase na Zabuloni, wakajinyenyekeza wakaja Yerusalemu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options