Skip to content
2 Nyakati 26:22-23

Mwisho wa Utawala wa Uzia

2 Nyakati 26:22-23
22
Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi.
23
Uzia akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma.” Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options