Skip to content
2 Nyakati 19:4-5

2 Nyakati 19:4-5

4
Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia Bwana, Mungu wa baba zao.
5
Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options