Skip to content
2 Nyakati 15:12-13

2 Nyakati 15:12-13

12
Wakafanya agano kumtafuta Bwana, Mungu wa baba zao kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote.
13
Wale wote ambao hawangemtafuta Bwana, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options