Skip to content
1 Timotheo 6:4-5

1 Timotheo 6:4-5

4
huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,
5
na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options